MUSUKUMA AMCHANA PROF JANABI BUNGENI" USHIKE BREKI, MIMI DAKTARI MWENZIO, ANAHESHIMIKA SANA AJIELEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025

Комментарии • 605

  • @JoyceAlfred-dv6cw
    @JoyceAlfred-dv6cw 10 месяцев назад +40

    Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb

  • @kituamichael3792
    @kituamichael3792 3 месяца назад +4

    Akili ni kuamua kubadili mtindo wa maisha na kuishi kanuni za kibiblia maana neno la Mungu lipo wazi juu ya vinywaji vinavyolalamikiwa kuua watu
    Kadri siku zinavyoenda yaliyonenwa yanatimia
    NB Hongera sana Dr kwa kupaza sauti

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 11 месяцев назад +24

    Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....

    • @BurahaKessi
      @BurahaKessi 2 месяца назад

      Unajitambulisha hivyo utakula supp😂😂

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 2 месяца назад +1

    Wabunge hii kazi ya kuthibiti vinywaji na chakula na kuwezesha utafiti katika maeneo yote muhimu nchini,ni ya kwenu.Tungeni sheria nzuri za utafiti.Lipeni watafiti malipo mazuri kwa kazi zao.Badala yake mnatunga sheria za kujilipa ninyi wenyewe vizuri.Hapo ndiyo mmetufikisha kama jamii.

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 11 месяцев назад +6

    Mungu akupe maisha Msukkuma...
    Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu 11 месяцев назад +42

    This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 11 месяцев назад +2

      wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest

    • @Soon815
      @Soon815 11 месяцев назад

      Well said

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 11 месяцев назад +1

      @@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 11 месяцев назад

      @@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi

    • @tolisso4287
      @tolisso4287 11 месяцев назад

      😂😂 we jamaa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 10 месяцев назад +3

    Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli

  • @mutabazijustin-x2v
    @mutabazijustin-x2v 10 месяцев назад +8

    Afathari na Nyinyi Watanzania mnavyakura vyakutosha kupambana nahizo pombe feck hapa kwetu Rwanda Kigali unakuta vijyana miaka kumu na Tano wanajikojorea sababu ya hizo pembe akinywa hata asipo kunywa Asante sana Msukuma

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 11 месяцев назад +27

    Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 11 месяцев назад +2

      Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?

    • @BenjaNetanyahu
      @BenjaNetanyahu 11 месяцев назад

      @@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.

    • @ramadhanijuma4130
      @ramadhanijuma4130 11 месяцев назад

      Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 11 месяцев назад +1

      Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora

    • @fcbora7388
      @fcbora7388 10 месяцев назад

      Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 11 месяцев назад +50

    Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 11 месяцев назад +1

      ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 10 месяцев назад +1

      Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉

    • @dominickmahela1581
      @dominickmahela1581 10 месяцев назад +1

      Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂

    • @phakundigervas1360
      @phakundigervas1360 10 месяцев назад

      Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.

    • @NurdiniBakari
      @NurdiniBakari 4 дня назад

      Kabisa sema labda akumsikiliza kwa umakin pr janabi

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 11 месяцев назад +7

    Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.

  • @Chaser2497
    @Chaser2497 11 месяцев назад +39

    Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!!
    Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢

    • @LeonardKessy-d2i
      @LeonardKessy-d2i 11 месяцев назад

      Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 11 месяцев назад +1

      Mkiumwa mfateni msukuma awatibu

    • @Chaser2497
      @Chaser2497 11 месяцев назад

      @@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi.....
      Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora

  • @b1vevo
    @b1vevo 10 месяцев назад +4

    The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 10 месяцев назад +2

    Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 3 месяца назад +4

    Hujamuelewa Professor Janabi , ulaji unategemea na physical activities level

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 10 месяцев назад +9

    Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.

    • @ClementDominicko
      @ClementDominicko 3 месяца назад

      Duu mi niko mbali kwer na matikiti yanadungwa sindano.

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 11 месяцев назад +7

    Jamaa wanashindwa kuelewa Professor Janabi anachozungumzia ni issue ya mlo mmoja kwa siku, mlo unakuwa na aina zote za virutubisho yani ni mlo kamili. Hii ni moja ya tiba nzuri. Najua kuna watu wanajua zaidi yangu wanaweza kunisahihisha

    • @shukranisibale1739
      @shukranisibale1739 11 месяцев назад

      Uwezo watu wanao wa virutubisho

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 11 месяцев назад

      uko sawaa kabisa msukuma hajaenda shule yani anakuja kulalamika wakati hata usikute hali mlo kamili

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 3 месяца назад +1

    Asante sana msukuma wachane wavumbuke izo biashara ni zao na waarabu wamalize vizazi vitu watanzania vijana walindwe kama migodi ya tanzanaiti ongera sana Tena sana wenu ni simba sauti ya wanyonge vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na wageni

    • @MakukaOmary-e2b
      @MakukaOmary-e2b 3 месяца назад

      Unajitoa akili waarab na ushog wapi na wapi mashoga wanajulikan

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl 11 месяцев назад +8

    MSKUMA.......achana na Professor wetu mjomba. Pitia tena UFAFANUZI wake kurwa mara Tatu,labda utamuelewa. Kama umemtaja kwa kwa KUSHEREHESHA wabunge wenzio.....hapo sawa,ila Muheshimu sana msomi wa miaka 1970,1980 ,huko nchi za kikoministi......hicho kijiko kimoja ulichokitaja kilikuwa adimu. Hongera Professor JANABI. Kizazi kijacho kitakuelewa.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 11 месяцев назад +1

      Ndugu umenisaidia sana kujibu ahsante 🙏🙌huyu msukuma amejikuta nani sijui kuingilia taaluma za watu!ana katabia kadharau toka apewe udaktari wa funza chooni

    • @samwa9496
      @samwa9496 3 месяца назад

      anakurupuka

  • @bless5758
    @bless5758 4 месяца назад +1

    Mh. uko vizuri saana. Mawazo yako yafanyiwe kazi.

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 11 месяцев назад +17

    Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.

    • @MesiaMtui
      @MesiaMtui 7 месяцев назад +2

      Ndugu we wa mjini jembe hulijui Wala sio mjenzi mfuate

    • @RehemaMtiwa
      @RehemaMtiwa 7 месяцев назад

      😊

    • @fidelisrichard9071
      @fidelisrichard9071 3 месяца назад

      Mshamb hyu

    • @fatnasaidi3027
      @fatnasaidi3027 3 месяца назад

      ​@@MesiaMtuiNa alifafanua alisema wenye Kaz ngum ndiyo wale 😊

    • @MohamedChillo
      @MohamedChillo 3 месяца назад

      @@euniestherwilliam1513 Hawamwelewii profesa Janabi , yule ni mtaalamu isitoshe ndiye anayepokea taarifa za wagonjwa wote Muhimbili na sababu za magonjwa, unajua mtu unaweza ukasoma hadi Chuo kikuu lakini usiekemike ,Kwa anayempinga Janabi ana matatizo ya akili kitu kipo wazi ulaji mbaya ni chanzo cha maradhi mengi na wala hakusema watu wale kuku broiler au tikiti lililochomwa sindano

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 11 месяцев назад +42

    😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet

    • @RamadhaniJitelani
      @RamadhaniJitelani 11 месяцев назад

      Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 месяцев назад

      ​@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini

    • @shakurfaith
      @shakurfaith 10 месяцев назад

      Anataka kuolewa​@@agnesjohn9382

  • @liliansanga4244
    @liliansanga4244 Месяц назад

    Huyu msukuma awewaziri wa afya anakili sana godbless tunakula vitu vingi

  • @f.a6043
    @f.a6043 3 месяца назад +2

    Mambo yamekua ya hovyo sana siku hizi ujinga mtu sijui ni laana gani imejaa hebu waambie hao ukweli
    Hongera sana Mh. Msukuma
    Waambie ukweli hao wanajifanya wanaabunu hela kuliko ubinadam yaani mambo ya hovyo kweli laaana tupu

    • @festomartin6170
      @festomartin6170 2 месяца назад

      HUYU JAMAA NI KENGE SANA SWALA LA KISOMI, LA KIAFYA UNALILETEA UIGIZAJI ILI WATU WACHEKE?. KASHEKU ACHA UJINGA

  • @MsafilymsafilyChaless
    @MsafilymsafilyChaless 11 месяцев назад +37

    Sema kiongoz wetu tuko pamoja,

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 11 месяцев назад +4

    Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 2 месяца назад

    Kuhusu chanjo mimi huwa sijachi watoto wangu ovyoovyo Hongera sana Msukuma unaongea pointi za maana
    Hizo kuku wa siku chache nichukixo kwa Mungu

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂
    Wasukuma oyeeee wako field shamabani

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 11 месяцев назад +4

    Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia

  • @kassimkassimngatomela9660
    @kassimkassimngatomela9660 5 месяцев назад +1

    Huyu mbunge anaongea vitu vya muhimu sana kwenye maisha ya watu.

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp 10 месяцев назад +3

    Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.

    • @munirazenji9819
      @munirazenji9819 4 месяца назад

      kweli msukuma labda hajamfahamu na hataki kujipima kutumia akili yake

  • @apostlelukumay1856
    @apostlelukumay1856 11 месяцев назад +3

    Msukuma ameongea point, japo hoja zake zinakosa mashiko kwa sababu wanaopaswa kuwajibika wamekaa kimya.

  • @KitilaMndeme
    @KitilaMndeme 11 месяцев назад

    Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi

  • @saidcontractor3315
    @saidcontractor3315 3 месяца назад +3

    Hongera sana msukuma

  • @LamekiObadia
    @LamekiObadia Месяц назад

    Namuona magu wa baadae aisee safi sana msukuma upo sahihi

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 11 месяцев назад

    Huyu mbunge mie namkubali sanaa huwa ANAONGEA UKWELI MTUPU💯 . Mungu atupe SIKIO LA KUSIKILIZA UMUHIMU WA KUFANYA UTAFITI WA VITU VINAVYOTUMIWA NA WANANCHI WA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🤲🤲

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 11 месяцев назад +37

    Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule

    • @misangasaidih8764
      @misangasaidih8764 11 месяцев назад +4

      Kabisaaa

    • @simasima8084
      @simasima8084 11 месяцев назад +1

      Sbb yy ni pr..

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 11 месяцев назад

      @@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 11 месяцев назад

      @@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 11 месяцев назад

      sio tanzania ni Tanzania

  • @danielndilili7525
    @danielndilili7525 10 месяцев назад +4

    Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel

  • @hemedallyabdallah133
    @hemedallyabdallah133 10 месяцев назад +2

    Kaka uko juu
    Mi nakuelewa hongera sana

    • @LatwifSued
      @LatwifSued 10 месяцев назад

      Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.

  • @VictoriaAbdallah-h8h
    @VictoriaAbdallah-h8h 26 дней назад

    We ni mtu Sahihi Sana tena sana

  • @elifariji
    @elifariji 11 месяцев назад +12

    Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 11 месяцев назад

      Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine

    • @HalimaJuma-hz4qe
      @HalimaJuma-hz4qe 10 месяцев назад +1

      Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua

    • @johndeogratias8099
      @johndeogratias8099 10 месяцев назад

      Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma

    • @JosephMpangala-wd5mp
      @JosephMpangala-wd5mp 10 месяцев назад

      Nikweli ukosahihi.

  • @erastonyoka5021
    @erastonyoka5021 10 месяцев назад +1

    Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana

  • @elizaandrew5517
    @elizaandrew5517 6 месяцев назад +1

    Hili la kadi za krinik Ziangali we na ulinzi uwekwe Tena watakukulu kama kulikuwa na hela za moto basi na kadi za moto ziwekwe

  • @MwandazaBangala
    @MwandazaBangala 2 месяца назад +1

    Wewe mweshimiya Mungu akubariki

  • @RechoMasunga-rp9dr
    @RechoMasunga-rp9dr 10 месяцев назад +2

    Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana

  • @DanielMangasa-hs4hx
    @DanielMangasa-hs4hx 3 месяца назад +1

    Upo vizuri mh Msukuma unaongea ukweli

  • @Azizmwatika-n9b
    @Azizmwatika-n9b 7 месяцев назад +1

    Mh msukuma ni Nuru ya taifa anasimama sanaa Kwa wananchi

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 2 месяца назад +1

    Msukuma ananguvu ya Mungu ndani yake

  • @hadithizetutv
    @hadithizetutv Месяц назад

    Msukuma huwezi jilinganisha na Prof Janabi acha ushamba Prof siyo mwenzio hata kidogo

  • @KahambasDaughterTherock
    @KahambasDaughterTherock 10 месяцев назад +3

    chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂

  • @SamwelBalya
    @SamwelBalya 7 месяцев назад +1

    Kwan kua mbunge unatakaiwa uwe na nn maana naona nikikaa na mm mtambo unawaka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @RichardMathew-n9i
    @RichardMathew-n9i 27 дней назад

    King msukuma unenavyo nisahihi

  • @bakarishabani5538
    @bakarishabani5538 11 месяцев назад +11

    Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.

  • @ElizabethFumbuka
    @ElizabethFumbuka 5 месяцев назад +1

    Ukitoka bungeni kunywa soda baridi❤

  • @EliabuShima
    @EliabuShima 10 месяцев назад +1

    Msukuma umetsha baba😂😂 hongera

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 11 месяцев назад +14

    Jamaa Yuko vizuri sana

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 11 месяцев назад +1

    Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki

  • @MOHAMEDIRAMADHANIJUMANNE
    @MOHAMEDIRAMADHANIJUMANNE 3 месяца назад +1

    Msukuma ni wa moto hongera yako

  • @DanielJohn-f1r
    @DanielJohn-f1r 2 месяца назад +1

    💪💥💯makin sanaaa

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 11 месяцев назад +2

    Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 11 месяцев назад

      Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie

  • @FrankMwakalinga-k9y
    @FrankMwakalinga-k9y 7 месяцев назад

    Mh.Msukuma nakwelewa sana kwa unayoyaongea ni hatari kwa afya yetu😢

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 10 месяцев назад +1

    He is genius😂😂

  • @valentinokimwaga4545
    @valentinokimwaga4545 2 месяца назад

    Kwakweli tunapotea Sana Tanzania

  • @pascaldomel1551
    @pascaldomel1551 10 месяцев назад +1

    Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.

  • @PascalPascal-r8r
    @PascalPascal-r8r 3 месяца назад +1

    Naacha kunywa Energy 😢😢😢

  • @thabititv3783
    @thabititv3783 10 месяцев назад +3

    Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu

  • @DevotaJulius-lp1mq
    @DevotaJulius-lp1mq 9 месяцев назад +1

    Msukuma nakukubali Sana. Ninakufutia tu

  • @brotherbenety
    @brotherbenety 10 месяцев назад +2

    Msukuma noma sana😂😂

  • @YonaMollel-y7k
    @YonaMollel-y7k 7 месяцев назад +1

    🎉😂❤😂 congratulations msukuma

  • @saidabdallah2649
    @saidabdallah2649 11 месяцев назад +4

    😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu

  • @JoshuaYeremia-z5k
    @JoshuaYeremia-z5k 3 месяца назад +1

    Sema baba mtetezi 🎉😂

  • @rwehumbizathadeo2559
    @rwehumbizathadeo2559 3 месяца назад +1

    Daima nitaendelea kukubali MSUKUMA

  • @MudiChange
    @MudiChange 6 месяцев назад +2

    Hongera sana mkuu

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 7 месяцев назад

    Yaan msukum cjui kwann hupew nafas ya juu katk uongoz wa SERIKALI au ndo ile tanzania hatupend wasema ukweli???? Mungu akubarike saaaaan nakupenda unanifrahisha

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 11 месяцев назад +5

    Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂

  • @BarakaKibidankwera
    @BarakaKibidankwera 3 месяца назад +1

    Hayo mambo serikali ndio inataka gongo hawataki pombe za sasa watu wengi wanakufa kwkwel

  • @DianaMwakibinga
    @DianaMwakibinga 3 месяца назад +2

    Makofi mengi mengi kwako Mh

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 11 месяцев назад +2

    Iki ni kichwa dah 🙏🙏

  • @PHILIPOGADIYE
    @PHILIPOGADIYE 3 месяца назад +1

    M nadhani kusoma sana kuna mchanganya mtu naona janabi anavyozidi kulisha watu matangopori msukuma ameeleza vizuri, hii ni dhahiri wasomi wetu wengi hawana msaada ktk jamii zaidi ya kuwapotosha na wengi hufuata maelezo hayo wakiwaamini wasomi hao.

    • @MohamedChillo
      @MohamedChillo 3 месяца назад

      Ndugu yule ni Professional hawezi kuwalisha matango pori ,anachokuongelea kwenye ulaji yupo sawa angalia Tanzania ya leo imejaa wagonjwa wa moyo na pressure ni kutokana na ulaji mbaya

  • @Goodluck-p9y
    @Goodluck-p9y 11 месяцев назад +1

    Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 11 месяцев назад +7

    Mimi janabi kanisaidia from 120 kgs to 95kg sina chakumlipa ila mungu atamlipa, kama kitu hakina umuhimu kwako ni bora kunyamaza sababu sio kila kitu ni cha kila mtu pleasee tuachien janabi wetu

    • @cr1sp1n64
      @cr1sp1n64 11 месяцев назад

      Naomba kuuliza amekupa ushauri kitu gani?

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 месяцев назад

      Janabi wako tena 😂😂

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 11 месяцев назад

      Amesema wao wa vijijini.wewe wa mjini unakula mno na hupo busy hushiki jembe huna kazi nzito. Uwe unamsikiliza mtu anaongea nini

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 11 месяцев назад

      @@kellyngogo3319 sasa aloambiwa walikua wanaambiwa wao wa vijijini nan? Kwanza mtu wa kijijin hata janabi hamjui mpigie ndugu yako wa kijijin muulize unamjua prof janabi? Au unaongelea kijiji gan?

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132 6 месяцев назад

    Dr.Janabi tunamshukuru ametuelimisha vizuri tu kwa wanaojali afya zao wameelimika! Kwa wanaojali kujaza matumbo yao tu watakuunga mkono Mzee!

  • @Fundnlly
    @Fundnlly 7 месяцев назад +1

    Safi sana bila hivi tutaisha

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 4 месяца назад +1

    Umeongea point sana

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 2 месяца назад

    Msukuma 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @MaishaWilliamjohn
    @MaishaWilliamjohn 2 месяца назад

    Msukuma big up sana

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 11 месяцев назад

    Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 10 месяцев назад +1

    Hongera sanaa musukuma

  • @kisandodida8114
    @kisandodida8114 8 месяцев назад +1

    Anajua Sana uyu mwamba

  • @b1vevo
    @b1vevo 10 месяцев назад

    Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂

  • @Bahatimohamedi-m7t
    @Bahatimohamedi-m7t 2 месяца назад

    Nakubali sanaa musukuma

  • @JacksonKimath-i5n
    @JacksonKimath-i5n 3 месяца назад

    Mbn m,bunge wetu ndakidemi Yuko kimya kwamba mosh vijijini amna changamoto

  • @GerrardLaizzer
    @GerrardLaizzer 3 месяца назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣musukumaaa daa

  • @IbrahimLyotch
    @IbrahimLyotch 6 месяцев назад +1

    Brilliant idea

  • @AbdillahiNdashwa11
    @AbdillahiNdashwa11 10 месяцев назад +1

    Allah akujalie inshallah

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 10 месяцев назад +2

    Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.

  • @Tellaaxis
    @Tellaaxis 9 месяцев назад +1

    Noma sana❤ #tellaaxistz

  • @KhadijaUssi-cp5is
    @KhadijaUssi-cp5is 10 месяцев назад +1

    Hujamuelewa profesa

  • @ed2001
    @ed2001 2 месяца назад

    Huyu magufuli mwengine 😂

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 11 месяцев назад +3

    Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano